Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Na Walter
Mguluchuma
Katavi
Mwandishi wa habari
wa gazeti
la The gudian Gerald
Kitabu amewashinda wagombea wenzake
watatu kwenye kura za
maoni za kuomba kuteuliwa
kugombea Ubunge wa Jimbo la
Nsimbo kupitia chama
cha CHADEMA
Kitabu aliwashinda wagombea
wengine watatu katika
kura za maoni za kugombea
Ubunge wa Jimbo la
Nsimbo zilizofanyika jana
katika ukumbi wa
Songambele Wilaya ya Mlele
Mkoani hapa
Katika uchaguzi huu wa kura za maoni
za jimbo hilo
jumla ya wanachama wanne wa
wachama hicho walijitokeza
kugombea nafasi ya kuomba
kuteuliwa na chama
hicho kugombea ubunge kwenye
uchaguzi mkuu wa oktoba 25
mwaka huu
Wanachama
hao wengine waliogombea nafasi
hiyo ya kuomba kuteuliwa
kugombea ubunge wa jimbo la
Nsimbo ni Mpate Samwel
Sullemani, Kayagambe Jaston Wilson na Busagala Mwandu
Godoka
Gerald Kitabu
katika uchaguzi huo wa kura za maoni
alipata kura 65
Mpate Sullemani kura
37,Kayagambe Wilisoni kura
36 na Mwandu Godoka
alipata kura tisa
Katika uchaguzi
mkuu wa Oktoba 25 Gerald
Kitabu kuenda akapambana
na mgombea mmoja kutoka
CCM ambapo jula ya wana CCM sita
wamechukua fomu za kuomba kuteuliwa kugombea
jimbo hilo
Wanachama hao
ni Said Amour
Arfi ,Richald Mbogo ,Hassanal Shabir(Dalla),Manamba Emanuel
na Frenk Mapesa
Katika
uchaguzi mwingine mwinge wa kura za maoni
za kumpata mgombea ubunge wa
Jimbo jipya la Katavu(CHADEMA) uliofanyika
jana huko Tarafa ya
Mpimbwe Wilaya Laulenti Magweshi
ameweza kuwashinda wagombea
wenzake sita wa
Chama hicho
0 comments:
Post a Comment