Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Na Walter
Mguluchuma
Katavi
Chama cha Waandishi wa habari cha Mkoa wa Katavi(KPC)
kimewachagua viongozi watako kiongoza
chama hicho kwa kipindi
cha miaka mitatu ijayo
Viongozi
hao walichaguliwa hapo
jana na kwenye
mkutano mkuu wa uchaguzi
wa chama cha
waandishi wa habari wa Mkoa wa
Katavi uliofanyika kwenye
ukumbi wa Parokea ya
Kanisa Katoliki jimbo
la Mpanda
Uchaguzi huu
ambao ulivutia hisia za watu wengi wa
Mkoa wa Katavi ulisimamiwa na
mjumbe wa wa
bodi ya muungano wa kilabu za
waandishi wa habari hapa
nchini (UTPC) Deo Nsokolo
ambae pia ni mwenyekiti wa klabu
ya waandishi wa habari wa Mkoa wa Kigoma
Katika uchaguzi huu
wajumbe wa mkutano mkuu
walimchagua walter Mguluchuma kuwa Mwenyekiti wa
Chama hicho baada ya kuwa
mgombea pekee wa nafasi hiyo na
kupigiwa kura zote za ndio
Makamu Mwnyekiti
alichaguliwa Elias Milwano
ambae alikuwa mgombea pekee wanafasi baada
ya kupa kura 10
kati ya kura 11 ambapo kura moja iliharibika
Katibu Mkuu alichaguliwa Pascal
Katona na katibu
msaidizi alichaguliwa Arine
Temu baada ya kushinda wandishi wa
habari wa TBC Adolfu Mbata kwa kura
saba kwa nne na mtunza mwasibu
wa klabu
alichaguliwa Frida Ngozi
Mara baada ya kutangaza matokea
hayo msimamizi wa
uchaguzi huo Deo Nsokolo aliwataka viongozi
waliochaguliwa kuiongoza klabu
hiyo kwa kufuata misingi ya katiba
Alisema wapo baadhi ya viongozi wamekuwa
wakiongoza klabu hizo kama mali zao
binafsi na matokeo yake ndio imekuwa ndio
vyanzo vya migogoro hivyo ni
vizuri wakaongoza kwa misingi ya uwazi
Pia
amewataka kuwashirikisha
wanachama wa klabu hiyo kwenye
maswala yote ya mali za
chama hicho ili pasipo
kuwaficha jambo lolote
linalohusiana na mali za klabu
0 comments:
Post a Comment