Walter Mguluchuma
Katavi
Maelfu ya Wakazi wa
Mkoa wa Katavi leo watajumuika
na Marie Stopes Tanzania (MST) katika viwanja vya shule ya
Msingi Kashaulili mjini Mpanda kusherekea
uzinduzi wa huduma ya uzazi
wa mpango na pia
watapatiwa huduma hiyo bure
Sherehe hizo za uzinduzi wa wa uzazi wa Mpango ambazozimevutia hisia za watu wengi wa
Mkoa wa
Katavi na Wilaya zote za Mkoa huu zinatarajiwa kuzinduliwa na Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dr Ibrahimu Msengi
ambae atawakilishwa na Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Paza Mwamlima ambae
atamwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Katavi
Kwa mujibu wa taarifa ya
mkuu wa kitengo cha
mahusiano na mawasiliano wa MST
leo Brant aliyoitowa kwa waandishi wa habari sherehe
hizo zinatatajiwa kuzindiliwa leo majira ya saa nne asubuhi katika uwanja huo
Tukio
hili la uzinduzi wa mradi mkubwa
wa kutoa huduma bure
za uzazi wa mpango
umuisha fanyika katika Mikoa mbalimbali hapa nchini
Lengo la uzinduzi huo ni kuhamasisha
kampeni mahususi ya Marie
Stopes ijilikanayo kama
changua maisha
Huduma zinazotolewa
kupitia shirika la Marie
Stopes zinachangia asilimia
ishirini na tano ya huduma
zote za
uzazi wa mpango ukiondoa kondomu
Kwa upande wake
mkazi wa Mtaa wa Kawajense Said Juma ameeleza kufurahishwa na uzinduzi huo wa mpango wa uzazi katika Mkoa
wa Katavi
Alisema mpango
huo utawasaidia kuweza kuwa na mpango
mzuri wa uzazi kuliko ilivyo sasa kwani familia nyingi katika Mkoa wa Katavi
zimekuwa azifuati mpango wa uzazi na matokeo yake wamekuwa wakishindwa
kuwapatia huduma za msingi watoto wao kama vile kuwapeleka shule
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
0 comments:
Post a Comment