Mkuu wa Mkoa wa Katavi DR Ibrahimu Msengi aliyekatikati akionyeshwa mbegu za mahindi na afisa kilomo wa Mkoa wa Katavi Elishael Nyoni hapo juzi za kampuni ya Byrade aina ya Pioneer Phb 3253 kwenye shamba la waziri Mkuu Pinda lililoko kijijini kwake Kata ya Kibaoni ambapo ekari tisa zilizopandwa mbegu hizo zimeshindwa kuota kutokana na kutokuwa na ubora
Watumishi wa shamba la Waziri Mkuu Mizengo Pinda lililoko
kijijini kwake kibaoni wakiwa wanarudishia kupanda mbegu za mahindi
kwenye sehemu ambazo mbegu za mahindi aziku ota
Picha na Walter Mguluchuma-Katavi yetu Blog
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
0 comments:
Post a Comment