Na Walter
Mguluchuma
Katavi
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dr Ibrahimu Msengi ameiPINGA marufuku Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda kumwalika
yeye kutembelea na kukagu miradi
yote ya maendeleo iliyojengwa chini
ya kiwango kwani hayuko tayari kufungua miradi yote ya maendeleo iliyojengwa
chinii ya kiwango
Rc alitowa kauli hiyo hapo jana wakati wa ziara yake ya kukagua
maendeleo ya ujenzi wa majengo ya
maabara ya shule za Sekondari za Ikola
na Karema zilizoko katika Tarafa ya Karema
Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda
baada ya kutoridhishwa na ujenzi
wa majengo ya maabara katika Sekondari
ya Ikola
Alisema miradi mingi ya ujenzi wa majengo ya Halmashauri inajengwa chini ya kiwango kutokana na
kutokuwa na usimamizi wa wataalamu wa kutoka kwenye Halmashauri husika
Alisema yeye kama Mkuu wa Mkoa hata
kubali kungua jengo lolote katika Mkoa
wa Katavi ambalo limejengwa chini ya kiwango na wala Halmashauri
isimwalike kutembelea miradi ya namna hiyo na hata kubali lifunguliwe
Alifafanua kuwa ni aibu kwa karne ya leo majengo kujengwa chini ya kiwango wakati huo
ambao kuna zana za kisasa bora zaidi
kuliko wakati wa zamani
Dr
Msengi alisema inashangaza sana
kuona majengo ya watu binafsi yanajengwa
kwenye kiwango kizuri huku majengo ya sekari yakiwa yanajengwa chini ya kiwango
kwani hao watu binafsi wakati mafundi ni
walewale alihoji i RC
Alieleza
swala la ujenzi wa majengo ya
maabara sio la mzaha endapo kutatokea na kiongozi yoyote katika
mkoa wake atakae zembea atahakikisha anamwajibisha
Dr Msengi
alisema yeye taarifa za kusomewa kwenye makaratasi azimsumbui
kwani utaratibu wake ni lazima
afike kwenye eneo husika na akikuta kuna
tatizo lolote atamwagiza mkandarsi aliyejenga
jengo alivunje na kisha alijenge kwa gharama zake
Kauli hiyo aliitowa baada ya kutolidhika na
ujenzi wa jengo ya vyumba vitatu vya maabara vya shule
ya sekondai ya Ikola hari ambayo ilimlazimu amwangize mkurugenzi
wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda kuhakikisha milango yote iliwekwa kwenye
majengo hayo inaondolewa na kuwekwa mingine yenye ubora kwa gharama za
mkandarasi aliyejenga majengo hayo
Pia
amewaagiza Wakurugenzi wote wa
Halmashari za Mkoa wa Katavi kuhakikisha
kila jengo linalojengwa kwenye
Halmashauri zao linapangiwa na mtaalamu
wa kulisimamia na awe anasaini kitabu kila atua anayokuwa anakagua na ratiba hiyo wawe nayo wakarugenzi ofisini mwao
Aidha aliwataka walimu wa shule za misingi na
Sekondari kuwa kusimia kwa karibu majengo ya madarasa , nyumba za waalimi
pamoja na matundu ya choo yanayojengwa kwenye shule zao na pale wanapoona
majengo hayo yanajengwa chini ya kiwango watoe taarifa kwa viongozi
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
0 comments:
Post a Comment