Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Katavi Dhahiri Kidavashari akiwahutubia askali wa jadi (sungusungu) na wananchi wa kata ya kakese hapo jana akiwaeleza namna ya kushiriki wao karika suala zima la polisi shirikishi inavyo kabiliana na uharifu.
Kamishna wa jeshi la Polisi Ally Mlege kutoka Makao makuu Dar es salaam akiwahutubia askari wa jadi (Sungusungu) na wananchi wa kata ya Kakese hapo jana jinsi alipo vutiwa na ulinzi shirikishi unaofanywa katika kata hiyo na kusaidia kupunguza matukio ya uharifu tofauti na ilivyokuwa hapo awali
Picha zote na Walter Mguluchuma mwandishi wa Katavi yetu
Ingia hapa kuona mkoa wako: www.blogszamikoa.blogspot.com
0 comments:
Post a Comment