MIZENGO PINDA ATAKA WANA CCM KUJIEPUSHA NA MANENO YA UCHOCHEZI

Na Munir Shemweta, MLELE   Waziri Mkuu Mstaafu ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa Mhe. Mizengo Pinda amewataka wanachama CCM wanaotaka kugombea nafasi yoyote kujiepusha na maneno ya uchochezi yanayoweza kuharibu mahusiano baina yao. Pinda amesema hayo tarehe 20 Julai 2024 wakati akizungumza na viongozi mbalimbali wa CCM wakiwemo madiwani, viongozi wa kata pamoja na wazee katika halmashauri ya Mpimbwe wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi. Amesema, kwa yoyote anayetaka kugombea nafasi ya uongozi ni vizuri akawa muangalifu na maneno ya uchochezi aliyoyaeleza kuwa, wakati mwingine yanaweza kumletea...

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan azindua Vihenge na Maghala ya Kisasa kuhifadhia Nafaka ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi wa Chakula (NFRA) Mpanda mkoani Katavi

. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo wakati alipotembelea sehemu ya mfumo wa upimaji Nafaka kabla ya kuzindua mfumo ununuzi wa nafaka kwa msimu wa 2024-2025, Mpanda Mkoani Katavi tarehe 14 Julai, 2024. @font-face {font-family:"Cambria Math"; panose-1:2 4 5 3 5 4 6 3 2 4; mso-font-charset:0; mso-generic-font-family:roman; mso-font-pitch:variable; mso-font-signature:-536870145 1107305727 0 0 415 0;}@font-face {font-family:Calibri; panose-1:2 15 5 2 2 2 4 3 2 4; mso-font-charset:0; mso-generic-font-family:swiss; mso-font-pitch:variable; mso-font-signature:-536859905...

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan atembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi iliyopo Mpanda katika muendelezo wa Ziara yake ya kikazi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu akizungumza na Wananchi mara baada ya kutembelea Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Katavi iliyopo Mpanda katika Muendelezo wa Ziara yake ya Kikazi mkoani humo tarehe 14 Julai, 2024.  @font-face {font-family:"Cambria Math"; panose-1:2 4 5 3 5 4 6 3 2 4; mso-font-charset:0; mso-generic-font-family:roman; mso-font-pitch:variable; mso-font-signature:-536870145 1107305727 0 0 415 0;}@font-face {font-family:Calibri; panose-1:2 15 5 2 2 2 4 3 2 4; mso-font-charset:0; mso-generic-font-family:swiss; mso-font-pitch:variable; mso-font-signature:-536859905...

RAIS DKT. SAMIA AIPA HONGERA NSSF

RAIS DKT. SAMIA AIPA HONGERA NSSF Na MWANDISHI WETU,Katavi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa pongezi kwa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) baada ya kuelezwa mafanikio mbalimbali ambayo NSSF imeyapata katika kipindi cha miaka mitatu ya uongozi wake.Pongezi hizo alizitoa tarehe 13 Julai, 2024 wakati alipotembelea banda la NSSF kwenye kilele cha Wiki ya Wazazi iliyofanyika Mjini Mpanda Mkoani Katavi. NSSF imeshiriki katika kutoa elimu ya hifadhi ya jamii katika maadhimisho hayo kwani Jumuiya ya Wazazi ni mojawapo ya wanachama wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii ( NSSF).Akizungumza kwa niaba...

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan afungua Jengo la Makao Makuu ya Polisi Mkoa wa Katavi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama wakati ukiimbwa Wimbo wa Taifa pamoja na ule wa Afrika Mashariki katika viwanja vya Jengo la Makao Makuu ya Polisi Mkoa wa Katavi tarehe 14 Julai, 2024.     @font-face {font-family:"Cambria Math"; panose-1:2 4 5 3 5 4 6 3 2 4; mso-font-charset:0; mso-generic-font-family:roman; mso-font-pitch:variable; mso-font-signature:-536870145 1107305727 0 0 415 0;}@font-face {font-family:Calibri; panose-1:2 15 5 2 2 2 4 3 2 4; mso-font-charset:0; mso-generic-font-family:swiss; mso-font-pitch:variable; mso-font-signature:-536859905...

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan azungumza na Wananchi wa Mpanda katika Kilele cha Wiki ya Wazazi Kitaifa Mkoani Katavi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia Wananchi wa Mpanda kwenye Mkutano wa hadhara uliofanyika wakati wa Kilele cha Wiki ya Wazazi mkoani Katavi katika Viwanja vya Azimio, Mkoani Katavi tarehe 13 Julai, 2024.&nb...

Rais na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan ahudhuria Kilele cha Wiki ya Wazazi Kitaifa Mpanda Mkoani Katavi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Mkutano wa hadhara uliofanyika wakati wa Kilele cha Wiki ya Wazazi Mpanda mkoani Katavi. Mkutano huo ambao umeandaliwa na Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Tanzania ulifanyika katika Viwanja vya Azimio, Mkoani Katavi tarehe 13 Julai, 2024.   @font-face {font-family:"Cambria Math"; panose-1:2 4 5 3 5 4 6 3 2 4; mso-font-charset:0; mso-generic-font-family:roman; mso-font-pitch:variable; mso-font-signature:-536870145 1107305727 0 0 415 0;}@font-face {font-family:Calibri; panose-1:2 15 5 2 2 2 4 3 2...
 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Katavi yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa