Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Na Walter
Mguluchuma
Katavi
Mbunge
aliyemaliza muda wake wa jimbo la
Mpanda vijijini Moshi Kakosa
ameshinda katika mchakato
wa kura za maoni katika Jimbo la
Mpanda Vijini za kuomba
ridhaa ya kuteuliwa kugombea Ubunge (CCM)
Kakoso alishinda
baada ya kupata kura 7691
wagombea wengin walikuwa ni
Wiliamu Makufye kura 2414, Abdalla Sumry
Kura 2076, God
Nkuba 1,696 Elizabath
Sultani 747 Chief Charles
Malack 674 na Rok Mgeju
kura 134
Kwa Jimbo
la Mpanda Mjini
Sebastiani Kapufi ameongoza kura za maoni kwa kupata kura
7,190 Galus Mgawe
amepata kura 2359 na Gabriel
Mnyere amepata kura
2010
Jimbo la
Kavuu Pundensiana Kikwembe
ameongoza kwa kupata kura 5232 Mselemu
Abdalla kura 587 na
Zumba kura 4245
jimbo la Nsimbo
Richald Mbogo ameongoza
baada ya kupata kura 9367 akifuatiwwa na
mfanyabiashara maarufu wa Mkoa wa
Katavi Hasasanal Shabir (DALA)8674
Jimbo la Katavi
ameongoza Eng Izack
Kamwelwe ambae ni meneja wa Tanroods wa Mkoa wa Katavi
aliyepata kura 4870 na kufutiwa
na Maganga Kampala
aliyepata kura 3926
Baada ya
kutangazwa kwa matokeo hayo baadhi ya
wagombea wanafasi hizo wametuma malalamiko ya kupiga matokeo
katika majimbo mbalimbali ya
Mkoa wa Katavi
Miongoni mwa malalamiko hayo wanayolalamikia ni kuwa baadhi ya wagombea walioshinda kwenye
kura hizo wanadaiwa kuwa
walishilikiana na baadhi ya viongozi wa chama na nunua
kadi na kuwagawia watu ili
wawapigie kura bila kujari itikadi za
vyama vyao na umri wao
Pia katika malalamiko yao wamedai kuwa wagombea hao wametumia magari yao kwa ajiri ya kubebea watu ili
wakawapigie kura kwenye vituo na pia baadhi ya watu wamepiga kura zaidi ya moja
kwenye vituo tofauti na pia
wamelelemikia kuwepo kwa vitendo vya Rushwa kwenye vituo vya kupigia kura
Wakati huo huo
waliokuwa wenyeviti wa Halmashauri ya Nsimbo , Manispaa ya
Mpanda na Mwenyekiti wa Halmashauri ya
Wilaya ya Mpanda wameshindwa kwenye mchakato wa kura za maoni
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Manispaa ya
Mpanda Enock Gwambasa
ameshindwa kwenye Kata ya Mpanda
Hotel Mohamed Assenga aliyekuwa Mwenyekiti ameshindwa
katika kata ya
Ugala na aliyekuwa mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda
Yassin Kibiriti ameshindwa katika Kata ya Mishamo
0 comments:
Post a Comment