mkuu wa Mkoa wa katavi meja
jenerali mstaafu Raphael Muhuga akimpongeza Padre Dminic Oguta baada ya
kupewa daraja la updre na Askofu Gervas Nyaisonga wa Kanisa Katoliki
Jimbo la Mpanda katika Ibada iliyofanyika Jana Kanisa kuu la Maria
Emakulata Jimbo la Mpanda Pina Walter Mguluchuma.
Askofu wa kanisa katoliki jimbo la Mpanda Gervas
Nyaisonga akimpa daraja la upadre Padre Dominic Ozyambo Ogutu katika
ibadada iiyofanyika katika ibada iliyofanyika jana Kanisa kuu la
mtakatifu maria Emakulata Jimbo Katoliki la mpanda,
Picha na Walter Mguluchuma,
Baadhi ya waumini wakiwa katika upadirisho huo
1 comments:
hongera sana padre mpya kwa kupata taraja takatifu la upadre na hudumu katika imani!
Post a Comment