Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Na Walter Mguluchuma
Katavi yetu blog
Msimamizi wa
uchaguzi wa Jimbo la Mpanda Mjini amemtangaza Sebastiani Kapufi kuwa Mbunge wa
Jimbo la Mpanda Mjini jimbo ambalo limeongozwa kwa kipindi cha miaka 10 na Said Arfi
CHADEMA
Kapufi(CCM)
amepata kura 29,193 Jonas Kalinde kura 18,649,
( CHADEMA)Galus Mgawe 1449 (ACT)
na Mussa Kasogela kura 228(ADC)
Mkurugenzi wa
uchaguzi wa Majimbo ya Katavi na Kavuu Lazalo Bene ametangaza matokeo ya ubunge katika majimbo hayo la
Katavi Aizack Kamwele (CCM)
Kura 8,956 George Shambwe( CHADEMA) kura 3,491 na Lucas Pinda (ACT) kura 566
Jimbo jipya la Kavuu matokeo yake ni kama yafuatayo Pudensiana Kikwembe (CCM)
kura18,009 Laulent Mangweshi (CHADEMA)kura
11,185 na Sitansilaus Kisesa (ACT) kura
205
Msimamizi wa
Jimbo la Mpanda Vijijini Astom Chang’a ametangaza matokeo ya ubunge kama ufuatavyo Moshi Kakoso ( CCM
kura 30,512 Mussa
Masanja CHADEMA kura 16,454 na
Anastela Malack ACT kura 2854
Msimamizi wa
Jimbo la Nsimbo ametangaza matokeo ya
jimbo hilo ambapo Richald Mbogo CCM amepata
kura 30,292 Gelard Kitabu
CHADEMA kura 6,879 na
Elias Kifunda ACT
amepata kura
399
Mkoa wa Katavi
unajumla ya majimbo matano ambayo yote yamechukuliwa na wagombea Ubunge wa CCM
0 comments:
Post a Comment