Na Walter MguluchumaKatavimwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Songambele kata ya Itenkawilayani Mlele mkoa wa Katavi Solile Juma (52) ameuwawa kwakukatwa katwa na mapanga wakati akiwa amelala nyumbani kwakeakiwa na mwanae kutokana na imani za kishirikinaKaimu kamanda wa jeshi la polisi wa Mkoa wa Katavi JosephMyovela alisema kuwa tukio hili lilitokea hapo juzi majira ya saatisa usiku nyumbani kwa marehemu ambae alikuwa akiishi namwanae Wa kike aitwaye Nkamba Chambani (15)Alisema siku hiyo ya tukio marehemu alikuwa na mwanae huyo nabaada ya kumaliza kula mlo wa usiku waliingia kulala ambapomwanae alikuwa akilala sebuleni na mama yake akilala chumbaniMyovela alieleza kuwa ilipo timia majira ya saa tisa usikuwalisikia mlango ukivunjwa kwa kitu kizito na watu wasiofahamika idadi yao waliingia ndani wakiwa na tochi zenye mwangamkali huku wakiongea kwa lugha ya kabila la wasukuma wakimtakamarehemu atowe fedha zote alizo kuwa nazoHata hivyo marehemu huyo pamoja na mwanae hawakuweza kuwajibulolote watu hao kwa kuendelea kukaa kimya huku wakilazimishwakutopiga kelele za mayowe ya kuomba msaada kwa jirani zaokaimu kamanda alieleza ndipo watu hao walipoanza kumshambuliamarehemu kwa kumkata kata kwa mapanga sehemu mbali mbali za mwiliwake huku mwanae akiwa akishudia tukio hilo na watu haowakimtaka asipige mayowe vinginevyo nayeye watamshambulia kwamapangaBaada ya kuona marehemu amefariki dunia watu hao walitokomeamahali kusiko julikana huku wakiwa hawaja chukua kitu chochotecha marehemu SolileMyovela alisema binti huyo wa marehemu baada ya kuona mama yakeameuwawa aliendelea kukaa ndani hadi kuliko pambazuka ndipoalipo chukuwa jukumu la kwenda kumtaarifu babu yake aitwaye JumaMakoja na baada ya kufika kwenye tukio alitowa taarifa kwenyeuongozi wa kijiji ambao nao walitowa taarifa kwa jeshi la polisiAlieleza kuwa katika tukio hili mwanae na marehemu hakujeruhiwasehemu yoyote ile hari ambayo inahashiria kifo hikikimetokana na imani za ushirikinaHakuna mtu wala watu walio kamatwa kuhusiana na tukio hiliuchunguzi na ufuatiliaji wa kuwasaka waliohusika na mauwaji yahaya unaendelea na mwili wa marehemu umeisha fanyiwa uchunguziwa daktari na wamekabidhiwa ndugu zake tayari kwa mazishiyaliyo pangwa kufanyika jana kijijini kwake SongambeleKaimu kamanda Myovela ametowa wito kwa wanancchi wa Mkoa wakatavi kuepukana na imani za kishirikina ambazo zimekuwazikisababisha mauaji ya watu nwasiokuwa na hatia mkoani hapo
Home »
» HATARI:MWANAMKE AUAWA KWA KUKATWA KATWA NA MAPANGA AKIWA AMELALA NA MWANAE WA KIKE CHUMBANI KWAKE
0 comments:
Post a Comment