Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Waziri wa Maliasili na Utalii Prof Jumanne Maghembe akikabidhi
vyeti kwa wahitimu wa mafunzo ya ukakamavu kwa wahifadhi wanyapori
kutoka TANAPA,TAWA NA MAMLAKA YA NGORONGORO yaliyofanyika ktk kituo cha
maunzo mlele mkoani katavi,mafunzo hayo yameshirikish awahitimu 69
yamemalizika hapo jana picha zote na walter mguluchuma
0 comments:
Post a Comment