Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Na Walter
Mguluchuma
Katavi
Waziri Mkuu Mizengo
Pinda amepata wadhamini zaidi ya 4,000 Mkoani Katavi ambao wamadhamini fomu za kugombea Urais kupia
CCM kwa ajiri ya kugomea urais
katika uchaguzi mkuu ujao na
alisema kuwa Rais ajae anae mjua ni Mungu peke yake hata wagombea wakiwa zaidi ya 30
Pinda
ambae yupo kwenye ziara ya kutembelea Mikoa mbalimbali
kwa ajiri ya kutafuta wadhami wa kumdhamini fomu za kugombea Urais alidhamini
hapo jana
Katibu wa
CCM wa Wilaya ya
Mpanda Elizabeth Kashamili aliwaeleza maelfu ya wakazi wa mji wa
Mpanda waliokuwa wamekusanyika
kwenye ofisi za CCM Wilaya ya
mpanda kwa lengo la
kushuhidia tendo Pinda kukabidhi fomu za kugombea Urais alizodhaminiwa na
wanachama wa CCM wa Mkoa wa katavi ambapo
alieleza kuwa jumla ya wanachama 4243 wamedhamini Pinda kwenye fomu hizo
Katibu huyo alifafanua kuwa Wilaya ya Mlele Pinda amedhaminiwa na wanachama 1440 na Wilaya ya Mpanda amedhaminiwa na
wanachama wa CCM 2803
Kwa upande wake Pinda aliwshukuru wanachama waliojitokeza kwa wingi kwenye kumdhamini
fomu hizo kwenye mbio za kumpata mgombea kupia
chama hicho
Alisema hata
wagombea wakiwa zaidi ya 30 wanaogombea
lakini Mungu peke yake ndio anae
jua ni nani atakae kuwa Rais ajae wa
Nchi yetu
uzuri wa jambo hilihakuna mtu
atakae kuwa anajua Rais
ajae hivyo lazima
watu waombe sana
kwa Mungu kwani yote ndiye anayepanga
alisema Pinda na kushangiliwa na
umati huo
Pia
alichukua nafasi hiyo kuwashukuru wananchi wa mji wa Mpanda kwa mapokezi
makubwa waliomfanyia juzi wakati alipo
wasili kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda na kufananisha mapokezi hayo kuwa
yalikuwa ni yakihistoria Katika Mkoa wa
Katavi na kusema kama ni mvua basi ilikuwa ni mvua ya mawe
Pinda
alisema kumbe hakua amekosea kunzia ziara yake ya
kutafuta wadhamini katika Mkoa wa Katavi kwani amefarijika sana jinsi
alivyo pokewa na ametiwa moyo mno na wanachi wa Mkoa wa Katavi katika kuugombea Urais
Aliwashauri wakazi wa Mkoa wa Katavi
kujitokeza kwa wingi kuwapokea wagombea
wengine watakao pita Mkoani hapa ni
vizuri mkawapokea na kuwasikiliza
na kuwaona
Pinda aliwaeleza wananchi hao kuwa baada ya kumaliza ziara yake jana Mkoani
Katavi ataanza ziara leo katika
Mkoa wa Rukwa kisha ataelekea
Mikoa ya Mbeya Niombe , Iringa na
Songe
No comments:
Post a Comment