Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Na Walter
Mguluchuma
Mpanda Katavi
Viongozi wa
madhehebu yote ya Dini zilizopo hapa
Nchini wameombwa kuwahamasisha waumini wao waache
kufanya vitendo vya uharifu
Wito huu
umetolewa hapo juzi na mkuu wa kitengo cha
Polisi jamii wa Jeshi la Polisi kamishina Mussa Ally Mussa
wakati wa washa ya siku moja ya siku ya Polisi iliofanyika kwenye ukumbi wa Super city ulioko mjini Mpanda
Alisema viongozi wa madhehebu ya Dini wanayonafasi
kubwa ya kupunguza uhalifu hapa nchini
endapo watawahamasisha waumini wao
kwenye madhehebu yao waache
kufanya vitendo vya uhalifu
Kamishina
Mussa alieleza wapo watu wanaofanya vitendo vya uhalifu
kwasababu hawaubiliwi neno la mungu ndio
maana hawaogopi kufanya uhalifu kwa kuwa
hawamjuwi mungu
Aidha
aliwataka Askari polisi kuacha tabia ya
kuwatolea watu lugha mbaya pindi wanapo
kuwa wamekwenda kwenye vituo vyao vya polisi kwa lengo la kupatiwa huduma
Alisema wapo baadhi ya Askari polisi wamekuwa
na tabia ya kuwatolea lugha mbaya watu wanapokuwa wanahitaji kuhudumiwa hali hiyo
inafanya kupunguza ushilikiano baina ya wananchi na jeshi la polisi
Aliwaomba wananchi
wasiwe na tabia ya kuwaonea huruma
polisi pale ambapo wanapo waona
wanapokea Rushwa hivyo ni vizuri
wakatowa ushilikiano kwa kutowa taarifa
ili Rushwa ikomeshwe ndani ya
jeshi la polisi
Kwa upande wake
mmoja wa wshiriki wa washa hiyo muhifadhi wa hifadhi ya mbuga ya Taifa ya
Katavi Denis Mushi alishauri viongozi wa madhehebu ya Dini kwenda kwenye maeneo ambayowanaishi watu siyo rasimu kwenye mapori na kuwahubilia watu
waache uhalifu
Nae meneja wa
mfuko wa hifadhi ya wa watumishi umma(PSPF) wa Mkoa wa Katavi Elneti
Mawalla ambae pia ni wakiri
wa kujitegemea Mkoani hapa
alisema watuhumiwa wengi wanaopatikana
na tuhuma za kesi za mahuma za kesi za
mauwaji niwale ambao hawana dini hata majina yao yamekuwana ni
yaajabuajabu tuu kotokana na kutokuwa na
dini
Mkurugenzi wa
Halmashauri ya Mji wa Mpanda Selemani Lukanga aliwaeleza washiriki wa washa
hiyo kuwa Halmashauri yake imepanga kuajiri askari wake hivi karibuni watakaokuwa wanashirikiana
polisi kufanya kazi ya kuzuia uhalifu na
kumbambana na uhalifu katika maeneo ya mji wa Mpanda
No comments:
Post a Comment