Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Wahifadhi wa Wanyama pori kutoka TANAPA , TAWA na Mamlaka ya
Ngorongoro wakilenga shamba kwa kutumia risasi za moto wakati wa
kufunga mafunzo yaliyofungwa hapo jana na Waziri wa Maliasili na Utalii
Prof Jumanne Maghembe katika kituo cha mafunzo cha Mlele Mkoani
Katavi .
Picha na Walter Mguluchuma
Picha na Walter Mguluchuma
0 comments:
Post a Comment