Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa
UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward
Lowassa pamoja na Mwenyekiti wake, Mh. Freeman Mbowe, wakiwasili kwenye
Uwanja wa Shule ya Msingi Kashaulili, Mpanda Mkoani Katavi leo Septemba
3, 2015, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni.
Chopa iliyowabeba Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania
katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa pamoja na Mwenyekiti wake, Mh. Freeman
Mbowe, ikitua kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Kashaulili, Mpanda Mkoani
Katavi leo Septemba 3, 2015.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa
UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward
Lowassa, akiwapingia wananchi wa Mpanda, Mkoani Katavi.CHANZO :OTHMAN
MICHUZI
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Freeman
Mbowe, akihutubia kwenye Mkutano huo wa Kampeni za Mgombea Urais wa
Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama
cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, uliofanyika
kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Kashaulili, Mpanda Mkoani Katavi leo
Septemba 3, 2015.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa
UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward
Lowassa, akizungumza jambo na Mgombea wa nafasi ya Udiwani katika Kata
ya Mtapenda, Bi. Pauline Pesnacy, mara baada ya kumnadi kwa wananchi wa
Mpanda, waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi
Kashaulili, Mpanda Mkoani Katavi leo Septemba 3, 2015, kulikofanyika
Mkutano wa Kampeni na kunadi sera zake.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa
UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward
Lowassa, akimnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mpanda Mjini, Jonas
Kalinde, wakati wa Mkutano wa Kampeni za Urais, uliofanyika Uwanja wa
Shule ya Msingi Kashaulili, Mpanda Mkoani Katavi leo Septemba 3, 2015.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa
UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward
Lowassa, akizungumza na Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Bahati Bukuku.
Furaha ya Vijana wa Mpanga.
Wanampanga wakiwa wameweka mikono juu kwa ishara ya kutaka Mabadiliko.
Baada ya kupigwa na jua kali, inabidi ajimwabie maji kupunguza ukali wa joto.
Mbunge aliemaliza muda wake wa Jimbo la Ole Zanzibar, Mh. Rajab Mbarouk akihutubia kwenye Mkutano huo.
Sehemu ya wanachana na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), waliofika kwenye Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa
Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia
CHADEMA, Mh. Edward Lowassa.
Waziri wa zamani wa Mambo ya Ndani, Lawrance Masha akizungumza na wananchi wa Mpanda.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mpanda Mjini, Jonas Kalinde akizungumza na
wanampanda wenzake wakati wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa
Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia
CHADEMA, Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya
Msingi Kashaulili, Mpanda Mkoani Katavi leo Septemba 3, 2015.
Wakisikiliza kwa Umakini.
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Freeman
Mbowe, akimkabidhi mfano wa funguo, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani
wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa.
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungani wa Tanzania katika mwamvuli wa
UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward
Lowassa, akihutubia kwenye Mkutano huo wa Kampeni, uliofanyika kwenye
Uwanja wa Shule ya Msingi Kashaulili, Mpanda Mkoani Katavi leo Septemba
3, 2015.
0 comments:
Post a Comment